MUIGIZAJI GRACE MAPUNDA AFARIKI DUNIA

 TANZIA: Grace Mapunda mu


igizaji maarufu Tanzania amefariki dunia kwa mujibu wa taarifa zilitolewa na wasanii wenzie. 


Kabla, miezi iliyopita afya yake ilionekana kubadilika na kuwapa wasiwasi wanaomjua wakiwemo mashabiki wake


Grace enzi za uhai wake alijizolea umaarufu kwa uwezo wake mkubwa wa kuigiza


Mungu amlaze mahali pema peponi


Pumzika kwa amani GRACE MAPUNDA🙏🕊🕊

Comments

Popular posts from this blog

JAMAA AREKODI VIDEO AKIFANYA MAPENZI NA WANAWAKE 400 TOFAUTI

MWAMBIENI FEITOTO